Posts

Je Uliwahi kuyajua mambo haya, Utastajaabu sana ukiyasoma

Image
1: Mtu akiwa analia halafu chozi la kwanza kudondoka likatokea jicho la kulia basi kilio kile ni cha furaha na likitokea jicho la kushoto linaasharia ni majonzi 2: Tunavalishana Pete za ndoa kwenye kidole cha kushoto kwa sababu hiki kidole ni pekee kilichoonganishwa moja kwa moja na mshipa wa vein unao peleka damu kwenye moyo moja kwa moja 3: Duniani tupo billion 7 hivyo ukisema ukutane na kila mtu kwa kila sekunde moja basi utachukua miaka 32 kukutana na sisi wote 4: Utafiti umeonyesha kuwa binadam wengi tunakuwa na furaha kila inapofika 7:26 pm (saa moja jion) kila jumamosi 5: Kumbe mende akikugusa labda hata kwa bahati mbaya basi ni lazima akimbilie mahali salama na akifika anafanya kama kujisafisha 6: Kila mwaka kwa wastani wanakufa watu 7000 kutokana na madhara ya miandiko ya ki daktari ambayo inapelekea kuchambuliwa na kueleweka vibaya mfano na wauza madawa wanatafsiri vibaya na wakakupa dawa nyingine tofauti na iliyoandikwa 7: Ukiingia Google ukawa search hizi n...

Kutana na Maabara inayotembea nje ya uso wa dunia, ni ajabu na kweli

Image
Alikua ni Rais wa 40 wa Marekani bwana Ronald Reagan ambae alikuja na aidia ya kuanzishwa kwa kituo cha anga ambacho kitakua nje ya uso wa dunia huku kikihusika zaidi na ukusanyaji taarifa mbali mbali juu ya mwenendo wa dunia, usalama wa mawasiliano ya ndani ya dunia na tafiti mbali mbali za nje ya dunia, hii ilikua mwaka 1980. Wengi walimuona Rais Reagan kama kichaa, kwani ni jambo lisilofikirika, atimae mwaka 1998 ujenzi wa kituo kikubwa cha anga ukaanza kujengwa kwa kupelekwa baadhi ya vifaa maalum nje ya uso wa dunia, vifaa hivi vilikua vinapelekwa na ma rocket. Kituo icho kikubwa cha anga kinajulikana kama ISS yaani Internation Space Station, ndio kituo kikubwa kabisa cha masuala ya sayansi ambacho kiko nje ya uso wa dunia, kituo hichi kinaelea angani kama mwezi au nyota zilivyo, bila kushikiliwa na kitu chochote kile, na hakipotei au kuanguka kisha kutokomea kusikojulikana. zifuatazo ni dondoo kubwa zihusuzo kituo icho; ujenzi wake ulianza rasmi mwaka 1998 na kuk...